Lyrics: Diamond Platnumz – Inama Lyrics ft. Fally Ipupa
Diamond Platnumz – Inama Lyrics ft. Fally Ipupa Ayolizer Kukudekeza kama mtoto Furaha unafurahia Unapogeuka moto Machozi unalia Mwembamba mwenene Uwe na pesa kama Dangote(Dangote) Penzi halijali umasikini Laweza penda mtu yoyote Penzi sio somo Ukasome kwa kitabu Penzi limefanya Harmonize Afukuzishe mwarabu Penzi oyoyo, Limeleta kwa wanangu vita Siku hizi siwaoni Naishia kuwalike Insta…
Diamond Platnumz – Inama Lyrics ft. Fally Ipupa
Diamond Platnumz – Inama Lyrics ft. Fally IpupaAyolizer
Kukudekeza kama mtoto
Furaha unafurahia
Unapogeuka moto
Machozi unalia
Mwembamba mwenene
Uwe na pesa kama Dangote(Dangote)
Penzi halijali umasikini
Laweza penda mtu yoyote
Penzi sio somo
Ukasome kwa kitabu
Penzi limefanya Harmonize
Afukuzishe mwarabu
Penzi oyoyo,
Limeleta kwa wanangu vita
Siku hizi siwaoni
Naishia kuwalike Insta
Hivo asiyekupenda
Achana naye
Anayekupenda
Pendana naye
Mambo stress
Ya nyumba ndani
Ebu cheza ufurahi
Kama songi limekolea
Asa inama
Ebu pinda mgongo(ooh ngo ngo ngo)
Oya inama(inama beiby)
Basi pinda mgongo(ngo ngo ngo ngo ngo)
Asa inama(inama beiby)
Ebu pinda mgongo
Kama tungi limepoza
Oya inama basi pinda mgongo
Fally Ipupa
Asa inama
Ebu pinda mgongo(nakupinda mgongo)
Oya inama basi pinda mgongo
Asa inama
Ebu pinda mgongo(ooh mgongo)
Oya inama basi pinda mgongo
Asa nionyeshe unanyonga je
Nyonga, nyonga kibasikeli
Nyonga kaa kibasikeli
Nyonga kama kibasikeli
Ah kiuno kifanye pedeli
Nyonga, nyonga kibasikeli
Nyonga kaa kibasikeli
Nyonga kama kibasikeli
Ah nyonga, na kupinda mgongo
Nyonga, nyonga kibasikeli
Nyonga kaa kibasikeli
Nyonga kama kibasikeli
Nakucheza ka goma la kashikwa midadi
Analishare lishare
Analishare lishare(analilili)
Analishare lishare
Eh bia za kitonga kachanganya na nyagi
Analishare lishare(yuko bwi)
Analishare lishare(silali)
Analishare lishare(oooh)
Yeah Samuel Etoo
Didier Drogba
Wasafi
Fally Ipupa, the boss
Tozali kolo, wakokokate(Kokate)