Je! Ni njia gani sahihi ya kuitupa Biblia iliyoharibiwa?

Swali Je! Ni njia gani sahihi ya kuitupa Biblia iliyoharibiwa? Jibu Hakuna njia ya “kibiblia” ya kuitupa Biblia ambayo imezeeka / iliyoharibiwa, kwa vile Biblia yenyewe haizungumzii swali hili. Kwa hivyo ni suala la kusadikika kibinafsi. Ni muhimu kuelewa kuwa hiyo sio karatasi, kusanyiko, na rangi ambazo ni “tukufu” au “takatifu.” Ni Neno la Mungu…

Swali

Je! Ni njia gani sahihi ya kuitupa Biblia iliyoharibiwa?

Jibu

Hakuna njia ya “kibiblia” ya kuitupa Biblia ambayo imezeeka / iliyoharibiwa, kwa vile Biblia yenyewe haizungumzii swali hili. Kwa hivyo ni suala la kusadikika kibinafsi. Ni muhimu kuelewa kuwa hiyo sio karatasi, kusanyiko, na rangi ambazo ni “tukufu” au “takatifu.” Ni Neno la Mungu ambalo ni takatifu, na sio nyenso iliyochapishwa kwaye. Hatupaswi kuiabudu au kuifanya sanamu Biblia. Madhumini ya Biblia ni kutufundisha kuhusu Mwokozi Yesu na wokovu anaoutoa na kutuelekeza kumwabudu Yeye na mioyo yetu yote, nafsi zetu zote, akili, na nguvu zetu zote. Karatasi na wino ya Biblia ni namna ambayo kwayo Mungu anawasiliana na Neno Lake kwetu.

Inawezakuonekana hata hivyo, kuwa kutupa Biblia itakuwa jambo la mwisho kufanya. Biblia nyingi zee, ikiwa zinawezarudiwa, zinaweza kuwa “nzuri vile mpya” ilivyo na inaweza endelea kutumika au kupeanwa kwa mtu mwingine aitumie. Hata Biblia mzee/iliyoraruka raruka, ikiwa inawezapewa mtu ambaye hana Biblia, itakuwa baraka kubwa. Watu wengine huweka Biblia mzee kama kitu cha kurithiwa ili kukumbusha vizazi mababu zao walikuwa wamejitolea kwa Mungu. Kunazo njia nyingi na zote ni muhimu tukizizingatia katika maombi.

Hatimaye, Biblia imaharika kwa kweli kiwango ambacho haiwezi tumika tena, inaweza tupiliwa mbali. Hakuna vile kuitupa Biblia hiyo kunaweza mchukiza Mungu. Wengi hupendelea kuichoma Biblia kuliko kutupa kwa takataka. Kwa njia zote hakuna yenye ni mbaya. Kunayo hadithi ya mtu ambaye alitupa Biblia yake nje pamoja na takataka. Mwenye anasanya takataka aliiona Biblia na akaitoa kutoka kwa takatka, akaanza kuisoma na aliweka imani yake kwa Yesu Kristo kama Mwokozi. Mungu anaweza kutumia neno Lake lenye nguvu (Isaya 55:11; Waebrania 4:12) kujishuhudia, hata kutoka kwa kurasa za Biblia ambazo zimetupwa.

[English]



[Rudi kwa ukurasa wa nyumbani wa Kiswahili]

Je! Ni njia gani sahihi ya kuitupa Biblia iliyoharibiwa?

Similar Posts

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.